
Tuesday, October 21, 2008
Monday, October 20, 2008
KING OF HIP HOP

HEBU CHUKUA HIYO!!

BIG UP A.Y
HIP HOP 4 HEALTH
Saturday, October 18, 2008
HISTORIA FUPI YA BOB MARLEY

Robert Nesta Marley,ambaye baadaye alikuja kujulikana kama Bob Marley,alizaliwa Februari 6,1945 katika kijiji cha Nine Mile kwenye Parishi ys mtakatifu Ann huko Jamaica.Baba yake Norval Sinclair Marley alikuwa mzungu na mama yake Cedelia Booker alikuwa Mjamaica mweusi.

Kifo hicho kilimfanya mama yake Bob Markey ahamishe makazi kwenye mji wa Kingston,huko Bob alikutana na Bunny Wailer wakawa marafiki na kujifunza muziki pamoja.Akiwa na umri wa miaka 14,Bob Marley aliacha shule na kujiunga na chuo cha ufundi wa kuchomelea vyuma,muda wakewa kupumzika alikuwa na Bunny Wailer kwenye muziki,kipindi hiko mwalimu wao alikuwa Joe Higgs,muimbaji wa mtaani mwenye imani ya kirastafari.Chini ya Joe Higgs walikutana na Peter Tosh na kuungana naye.
Mwaka 1962 Bob Marley alirekodinyimbo zake mbili za kwanza ambazo ni;"Usihukumu"(judge not) na "kikombe kimoja cha chai"(one cup of tea) chini ya muandaaji Leslie Kong,lakini nyimbo hizo hazikukubalika sana.Mwaka 1963 akashirikiana na Bunny Wailer,Peter Macintosh(Peter Tosh),Junior Braithwaite,Beverly Kelso na cherry Smith n kuunda kundi la "The Teenagers" kundi hilo lilijibadili majina na kuwa "The wailing rude boys","The wailling wailers" na mwishowe "The wailers".Mwaka 1964 na 1965 watoa vibao vikali kama "Usiwe na wasiwasi"(simmer down) na "Nafsi isiyokubali"(soul rebel)nyimbo hizi zilikonga nyoyo za Wajamaika wengi.Hata hivyo kufikia mwaka 1965 lilibakiwa na wakali watatu tu,yaani Bob Marley,Bunny Wailer n Peter Tosh,baada ya wengine kujiengua.Mwaka 1966 Bob Marley alimuoa kimwana Rita Anderson na kwenda kuishi kwa muda na mama yake huko Wilmington,Delaware nchini Marekanina kuibuka na imani kali ya kirastafari na kuja na mtindo wa kufuga nywele uitwao "dreadlocks".Baada ya hapo Bob Marley na kundi lake la The wailers walitoa vibao kemkem vilivyoitikisa Dunia.Kati ya vibao hivyo ni;Africa unit,Zimbabwe,Could oyu loved?,Iron lion zion,Is this love,Buffalo soldier na vingine vingi.Huyo ni Bob Marley,mfalme wa reggae aliyepinga ubaguzi kwani hata yeye mwenyewe alisema "Wananiita chotara,lakini mimi siegamii upande wowote bali nipo upande wa Mungu aliye niumba kutoka kwa weusi na weupe".Hiyo ni biograph ya mwanaharakati huyo wakupinga ubaguzi."REST IN PEACE RASTAFARAE"

Friday, October 17, 2008
HAWA NDIO WENYE UTAMADUNI ULIO HAI

WIMBO WA TAIFA


OKOA HIP HOP CAMPAIGN

BIG UP COMEDY ORIGIONAL!!!
.jpg)
INSPECTA KAISHIWA!!

Kauli hiyo ya mashabiki ya kumzodoa mkongwe huyo inatokana na Inspecta kuonekana kuzoea tabia ya kujibu mashairi ya nyimbo za watu na kufananishwa na waimbaji wa taarabu!wakiongea na chanzo chetu cha habari mashabiki hao walisema "Kama kashindwa kuimba bongo fleva bora arudi bush akalime mihogo!" na kuongezea kuwa "Sisi kama washabiki tumemchoka kwa sababu Mwaka wa shetani kajibu,huu nao wa Mwana FA kajibu imekuwa kama taa rabu sasa".Haya Inspecta KALAGHABAHO!Habari ndo hiyo,kaza buti urudi kwenye chati ama sivyo utaambulia patupu!!!
KIPANYA!!

Kwa hatua alizofikia bwana kipanya tunaweza kusema kuwa yeye ni mwanamapinduzi halisi wa fani ya uchoraji katuni Tanzania.CONGRATULATION MY BROTHER!!!KEEP IT UP!
Wednesday, October 15, 2008
JE WAJUA?????
Monday, October 13, 2008
HUU NI UTAMADUNI AU???



MTANZANIA

Subscribe to:
Posts (Atom)